Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Dar Es Salaam sqm 300

video thumbnail
Sh. 48,000,000

Ukubwa

300 SQM

Maelezo

🏑 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA, DAR ES SALAAM 🏑

πŸ’° BEI: MILIONI 48 TU

πŸ“ Ukubwa: SQM 300

βœ… Kinapatikana kwa urahisi bila changamoto.
βœ… Kipo katika neighbourhood nzuri na tulivu, inayofaa kwa makazi binafsi au uwekezaji.
πŸ“„ Umiliki wake ni Sales Agreement.

Hii ni fursa nzuri ya kumiliki kiwanja katika eneo linalokua kwa kasi.

πŸ“ž Muhitaji piga: +255 688 412 890
πŸ’΅ Gharama ya huduma (Service Charge): 30,000/=

Karibu Tajiri!
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! πŸš€πŸ‘