Tafuta

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Kibada, Dar Es Salaam sqm 1000

video thumbnail
Sh. 55,000,000

Ukubwa

1000 SQM

Barabara ya Karibu

700m

Huduma na Sifa

Hati
Ardhi Iliyopimwa
Karibu na Barabara ya Lami
Umeme
Maji
Karibu na Shule

Maelezo

🔥 VIWANJA VINAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA, DAR ES SALAAM! 🔥

Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja kikubwa katika eneo lenye maendeleo makubwa. Vimebaki viwanja viwili (2) tu!

📍 Mahali: Kigamboni, Kibada – Dar es Salaam
✅ Ukubwa: SQM 1,000 kila kiwanja
✅ Hali ya umiliki: Vimepimwa na vina Hati ya Risasi
✅ Bei: TSh Milioni 55 tu kwa kila kiwanja (mazungumzo yapo)

Faida za eneo:
✔️ Mita 700 tu kutoka barabara ya lami
✔️ Mtaa umejengeka vizuri na unaendelea kukua kwa kasi
✔️ Karibu na umeme, maji, shule na huduma nyingine muhimu za kijamii
✔️ Kinafaa kwa makazi, biashara au uwekezaji wa muda mrefu.

💥 Kwa ukubwa wa SQM 1,000 na bei ya TSh Milioni 55, hii ni fursa adimu katika eneo la Kigamboni.

👉 Unaweza kununua kiwanja kimoja au kuchukua viwanja vyote viwili kwa makubaliano mazuri ya bei.

📞 Wasiliana nasi sasa kupanga kwenda kuviona kabla havijauzwa!

💰 Service Charge: TSh 30,000

📱 Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni Kibada Viwanja DarEsSalaam Investment