Kiwanja kinauzwa Kinyerezi Kifuru, Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
300 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β KINYEREZI KIFURU (VIBURA), DAR ES SALAAM π
π° Bei: TSh 4,000,000 (Fixed)
β
Ukubwa: SQM 300 (20x15)
β
Kina fence upande mmoja
β
Eneo ni tambarare, tayari kwa ujenzi
β
Hatua chache tu kutoka barabara ya mtaa
β
Takriban KM 3 kutoka Stendi ya Kifuru Mjini
β
Barabara inapitika muda wote wa mwaka
β
Eneo linaendelea kwa kasi na huduma muhimu zinapatikana
π Kiwanja kinafaa kujenga nyumba ya kuishi au nyumba za kupangisha kwa ajili ya mapato ya kodi.
π Nyaraka: Sales Agreement (Umiliki halali)
β οΈ Bei ni Fixed β TSh 4,000,000.
π Service Charge: TSh 30,000/=
π± Wasiliana: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!! πΉπΏ















