Kiwanja kinauzwa Makongo, Dar Es Salaam (1000 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
VIWANJA VINAUZWA MAKONGO (LOCATION NZURI YA UWEKEZAJI AU MAKAZI)
Tunauza viwanja viwili vya kipekee vilivyopo kwenye eneo tulivu na la kimkakati la Makongo, bora kabisa kwa ajili ya ujenzi wa ghorofa za kupangisha (apartments) au makazi binafsi ya kifahari.
Sifa na Maelezo ya Viwanja:
Kiwanja 1: Ukubwa wa SQM 1,000 – Tsh 255 Million
Kiwanja 2: Ukubwa wa SQM 800 – Tsh 205 Million
Urahisi wa Usafiri na Huduma:
Dk 5 pekee kutoka Makongo Road.
Dk 10 pekee kutoka Mlimani City Mall.
Fursa ya Uwekezaji (ROI):
Eneo limechangamka na lina uhitaji mkubwa wa nyumba za kupangisha. Kodi ya apartment ya vyumba 2 (two-bedroom) katika eneo hili inafika mpaka Tsh 1,500,000 kwa mwezi, jambo linalokuhakikishia faida ya haraka kwenye uwekezaji wako.
Mawasiliano:
Piga simu au WhatsApp sasa kwa maelezo zaidi na kwenda kukagua eneo:
📱















