Kiwanja kinauzwa Mapinga Kimere, Pwani (1050 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก KIWANJA CHA MAKAZI KINAUZWA โ MAPINGA KIMERE
๐ Eneo: Mtaa wa Kimere, Mapinga
Unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa nzuri kwako!
๐ Ukubwa: Meta za mraba 1,050 (1,050 sqm)
๐ฐ Bei: TSh Milioni 35 (Inajadiliwa)
โ
Takribani Km 5 kutoka Bunju
โ
Takribani Km 3 kutoka Barabara Kuu ya Bagamoyo
โ
Miundombinu ya barabara ipo vizuri
โ
Maji na umeme vinapatikana karibu na eneo la viwanja
โ
Eneo linafaa kwa makazi na uwekezaji wa muda mrefu
๐ Kwa maelezo zaidi au kupanga kutembelea eneo, wasiliana na:
Latifa Mbonde
Real Estate Consultant
๐ฑ 0715 919 296
Karibu sana! Ukipata ujumbe huu, tafadhali uwashirikishe ndugu, jamaa na marafiki wanaotafuta kiwanja katika eneo la Mapinga Kimere.
#viralreelschallenge2025viralreelschallengejaiviralreelschallengeviralreelschallengechallenge #viral #realestateinvestment #everyone #trending









