Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)
Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ KIWANJA KINAUZWA β TABATA BONYOKWA STAND
Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa nzuri kwako!
π Location: Tabata Bonyokwa Stand, takribani dakika 5 kutoka stendi hadi kwenye kiwanja
Kipo jirani na Secondary ya Bonyokwa
β
Ukubwa: SQM 400
β
Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi
β
Pia kinafaa kwa ujenzi wa apartments (nyumba za biashara)
β
Eneo ni zuri, limeendelea na linaendelea kukua kwa kasi
β
Barabara imewekewa zege na inafikika kirahisi hata kipindi cha mvua
π° Bei: TSh Milioni 38 (Fixed)
π Nyaraka: Sales Agreement
Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo na mahitaji makubwa ya makazi.
π Wasiliana: +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
π° Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
Dalali Amani Kimaraβ Miliki Kesho Yako Leo!!!















