Kiwanja kinauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BONYOKWA STAND
Unatafuta kiwanja kizuri kwa makazi au uwekezaji? Hiki ni fursa nzuri kwako!
📍 Location: Tabata Bonyokwa Stand, takribani dakika 5 kutoka stendi hadi kwenye kiwanja
Kipo jirani na Secondary ya Bonyokwa
✅ Ukubwa: SQM 400
✅ Kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi binafsi
✅ Pia kinafaa kwa ujenzi wa apartments (nyumba za biashara)
✅ Eneo ni zuri, limeendelea na linaendelea kukua kwa kasi
✅ Barabara imewekewa zege na inafikika kirahisi hata kipindi cha mvua
💰 Bei: TSh Milioni 38 (Fixed)
📄 Nyaraka: Sales Agreement
Usikose nafasi hii ya kuwekeza katika eneo lenye maendeleo na mahitaji makubwa ya makazi.
📞 Wasiliana: +255 (0) 654 101 710 / +255 (0) 787 205 300
💰 Service Charge: TSh 30,000/=
Karibu ndugu mteja, tufanye biashara.
Dalali Amani Kimara– Miliki Kesho Yako Leo!!!















