Kiwanja kinauzwa Tabata Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (411 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
411 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
Kiwanja kinauzwa bei milion 50, ukubwa wa eneo la kiwanja square meter 411, eneo zuri sana na tambalale sana, hapa unaweza jenga nyumba za makazi au apartment, n.k, kutoka kituoni ni kiwanja cha 4 hivi, hii kiwanja ipo maeneo ya tabata kinyerezi kibaga dar es salaam
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service charge tsh 50000















