Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea, Sheli Oil Com, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Kiwanja
Vyumba
2
Bafu
1
Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FURSA YA KIPEKEE – ENEO LINAUZWA TABATA SEGEREA SHELI OIL COM 🔥
Unatafuta eneo zuri kwa makazi binafsi au uwekezaji wenye faida kubwa? Hili ndilo chaguo sahihi kabisa! 📍✨
📍 Location: Tabata Segerea, Sheli Oil Com
🚗 Umbali: Takribani kilometa 1 kutoka lami, panafikika bila shida kabisa
🏡 Ndani ya fence
Ndani ya eneo kuna nyumba ya vyumba viwili, ambapo:
🛏️ Chumba 1 ni master
🛋️ Sebule
🍽️ Jiko
🚿 Choo cha public
💡 Eneo hili linafaa kwa:
✅ Makazi binafsi – nunua, karabati na uhamie moja kwa moja
✅ Kubomoa na kujenga nyumba mpya ya kisasa
✅ Uwekezaji wa apartments kwa mapato mazuri ya kodi
📐 Ukubwa: Square meter 400
💰 Bei: TZS 60,000,000 (maongezi yapo karibu)
📍 Location hii inaijilipa sana na huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana kwa urahisi.
📞 Wahi sasa kabla halijachukuliwa!
Muhitaji piga: +255688412890
💼 Service charge: 30,000/=
#DalaliWakoWakishua #TabataSegerea #SheliOilCom #KiwanjaKinauzwa #Uwekezaji Apartments NyumbaDarEsSalaam
