Tafuta
-
-

Viwanja vinauzwa Buyuni, Dar Es Salaam (757 sqm)

video thumbnail
Sh. 10,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Ukubwa

757 SQM

Huduma na Sifa

Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

๐Ÿšจ FURSA YA MWISHO BUYUNI ๐Ÿšจ

Viwanja vinavyoleta faida halisi ya uwekezaji vimebaki VIWILI TU! ๐Ÿ”ฅ

Huu si muda wa kusubiriโ€ฆ ni muda wa kuchukua hatua. Buyuni inaendelea kukua kwa kasi kubwa miundombinu inaboreshwa, watu wanajenga, na thamani ya ardhi inapanda kila siku ๐Ÿ“ˆ

๐Ÿ‘‰ Hivi viwanja vilivyobaki vinafaa sana kwa:
โœ”๏ธ Uwekezaji wa muda mfupi na mrefu
โœ”๏ธ Kujenga nyumba au miradi ya biashara
โœ”๏ธ Kuhifadhi thamani ya pesa yako

Viwanja Vilivyopo sokoni
โœ…sqm 757 Tsh 7,570,000โœ…available
โœ… sqm 711 Tsh 7,110,000โœ…available
Usikubali kusimuliwa โ€œzilikuwepoโ€โ€ฆ chukua hatua sasa kabla HAVIJAISHA kabisa!

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa: 0761444564

Wahi leo, kesho inaweza kuwa historia.