Viwanja vinauzwa Kimbiji, Buyuni, Dar Es Salaam


Aina
Kiwanja
Barabara ya Karibu
200m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
๐โจ WEEKEND HII USIKOSE! TWENDE SITE VISIT โจ๐
Je, una ndoto ya kumiliki ardhi salama? Hii ndio nafasi yako!
Jiunge nasi tukatembelee viwanja vyetu vilivyopimwa maeneo ya Kimbiji (Kwa Chale & Buyuni Mti Mweupe) na ujionee mwenyewe ubora wake.
๐ Tunatoa usafiri wa pamoja kwa gharama nafuu
๐ Safari inaanza saa 3:00 asubuhi MIRADI
๐KIMBIJI KWA CHALE
๐ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ Mita 600 kutoka baharini
๐ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โ
Anza na down payment ya 20% tu
๐ Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ Dar es Salaam
โ Km 2 kutoka Baharini
โ Km 1 kutoka Barabara kuu
๐ฐ Bei Maalum:
โข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โ Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐ฟ Maeneo mazuri, salama na yanafaa kwa uwekezaji wa uhakika
Usisubiri kusimuliwaโฆ njoo ujionee mwenyewe!
Ardhi yako leo, mafanikio yako kesho ๐ผ๐ฑ
๐ Karibu sana, nafasi ni yako!
#SiteVisit #UwekezajiSalama #ViwanjaKigamboni #Kimbiji #Buyuni ArdhiSalama FutureInvestment
