Tafuta
-
-

Viwanja vinauzwa Kimbiji, Buyuni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 17,000 per sqm

Aina

Kiwanja

Barabara ya Karibu

200m

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Karibu na Bichi
Ardhi Iliyopimwa
Site Visit Transport

Maelezo

๐Ÿ“โœจ WEEKEND HII USIKOSE! TWENDE SITE VISIT โœจ๐Ÿ“
Je, una ndoto ya kumiliki ardhi salama? Hii ndio nafasi yako!
Jiunge nasi tukatembelee viwanja vyetu vilivyopimwa maeneo ya Kimbiji (Kwa Chale & Buyuni Mti Mweupe) na ujionee mwenyewe ubora wake.
๐Ÿš Tunatoa usafiri wa pamoja kwa gharama nafuu
๐Ÿ•’ Safari inaanza saa 3:00 asubuhi MIRADI
๐Ÿ“ŒKIMBIJI KWA CHALE
๐Ÿ“ Mita 200 tu kutoka barabara kuu
๐ŸŒŠ Mita 600 kutoka baharini
๐Ÿ’ฐ Bei ni sh 30,000 kwa sqm
โœ… Anza na down payment ya 20% tu
๐Ÿ“† Lipa kidogo kidogo hadi miezi 18 ๐Ÿ“ BUYUNI (MTI MWEUPE), Kigamboni โ€“ Dar es Salaam
โœ” Km 2 kutoka Baharini
โœ” Km 1 kutoka Barabara kuu
๐Ÿ’ฐ Bei Maalum:
โ€ข Tsh 17,000 kwa mita ya mraba (Cash)
โ€ข Tsh 19,000 kwa mita ya mraba (Installment)
โœ” Malipo kwa awamu hadi miezi 24
๐ŸŒฟ Maeneo mazuri, salama na yanafaa kwa uwekezaji wa uhakika
Usisubiri kusimuliwaโ€ฆ njoo ujionee mwenyewe!
Ardhi yako leo, mafanikio yako kesho ๐Ÿ’ผ๐ŸŒฑ
๐Ÿ‘‰ Karibu sana, nafasi ni yako!
#SiteVisit #UwekezajiSalama #ViwanjaKigamboni #Kimbiji #Buyuni ArdhiSalama FutureInvestment