Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Chekeni – Mwasonga, Dar Es Salaam (59732 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 KIWANJA KIKUBWA KINAPATIKANA – CHEKENI, MWASONGA 🔥
📍 Location: Chekeni – Mwasonga
🛣️ Linapakana kabisa na barabara ya lami inayojengwa na TANROADS, yenye upana wa Mita 60.
📐 Jumla ya eneo: SQM 59,732
Sawa na Eka 14.75
Eneo limepangwa katika matumizi yafuatayo:
🏭 Light Industry: SQM 29,860 — Eka 7.37
🏘️ Housing Estate: SQM 16,315 — Eka 4.03
🌱 Urban Farming: SQM 13,557 — Eka 3.34
💰 Bei: Tsh 50,000/= kwa SQM
🔥 Jumla: SQM 59,732 = Tsh 2,986,600,000/=
💧 BONUS: Eneo lina kisima cha maji safi ambacho kimekuwa kikitumika kwa zaidi ya miaka 14. Maji yaliwahi kupelekwa kwa Mkemia Mkuu kwa ajili ya vipimo.
📌 Eneo hili lina potential kubwa kwa uwekezaji wa viwanda, makazi, kilimo cha mjini na miradi mikubwa ya biashara.
📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga site visit.
#Chekeni #Mwasonga #LandForSale #IndustrialLand #RealEstateTanzania InvestmentOpportunity DarEsSalaam TANROADS LandInvestment















