Mgahawa unapangishwa Goba, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 OPPORTUNITY YA BIASHARA – RESTAURANT & LOUNGE Goba! 🔥
Unatafuta sehemu ya kipekee kuendesha Restaurant au Lounge yenye vibe la kisasa? Hii hapa 👇
📍 Ipo Goba, karibu kabisa na barabara kuu – rahisi kufikika kwa wateja
🏢 Muundo wa Ghorofa Mbili:
🔻 Chini:
• Sehemu ya vinywaji 🍸
• DJ area 🎧 kwa burudani ya usiku
• Seating area yenye nafasi ya kutosha
🔺 Juu (Ghorofani):
• Restaurant kamili kwa huduma ya chakula 🍽️
• Counter ya kisasa
🍳 Nje:
• Jiko kubwa (ideal kwa operations kubwa)
• Sehemu ya kukaa kwa wateja (outdoor vibe)
❄️ Vifaa na huduma:
• AC
• Standby Generator ⚡ (hakuna kusimama kwa biashara)
• Maegesho makubwa ya magari 🚗
💰 Kodi: Milioni 6 kwa mwezi
📅 Malipo: Kuanzia Kodi Ya Mwaka
🇹🇿SERVICE CHARGES
• Viewing Fee: TZS 30,000
(One-time payment - valid until you secure a unit)
• Brokerage Fee: Equivalent to Month Rent (paid separately)
🇹🇿CONTACT
• Call / WhatsApp: 0659320955
✨ Sehemu perfect kwa mtu anayetaka kuanzisha au kupanua brand ya Restaurant & Lounge kwenye eneo lenye ukuaji mkubwa!
📩 DM sasa kwa maelezo zaidi au kupanga viewing!
#Goba #RestaurantForRent #LoungeLife #DarEsSalaamBusiness #BusinessOpportunity OnesmoListings








