Tafuta

Frame ya Biashara inapangishwa Kijitonyama, Dar Es Salaam

Sh. 400,000/month

Maelezo

🔥 FRAME INAPANGISHWA – KIJITONYAMA 🔥

📍 Kijitonyama
💰 Bei: TSh 400,000 kwa mwezi

✅ Inajitegemea umeme
✅ Inafaa kwa duka, saluni, ofisi na biashara nyingine mbalimbali
✅ Eneo zuri lenye mzunguko wa watu
✅ Mazingira salama na rahisi kufikika

📌 Malipo: Miezi 6 – 12
📌 Viewing: 30,000
📌 Dalali: Mwezi mmoja

📞 Wasiliana: 0678512666

🚨 Wahi sasa! Frame za bei hii zinachukuliwa haraka sana.