Frame ya Biashara inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 FREMU INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE 🔥
✨ Fremu nzuri na ya kisasa inapangishwa eneo la Kimara Korogwe, ipo barabarani kabisa katika sehemu yenye muamko mkubwa wa biashara na wateja wengi.
💰 GHARAMA NA MALIPO
🔹 Kodi: Tsh 350,000 kwa mwezi
🔹 Malipo ya kodi: Miezi 6
🔹 Unapochukua fremu utalipakodi ya mwezi mmoja dalali
• Service charge: Tsh 20,000
🏪 BIASHARA YEYOTE INARUSIWA KWENYE FREMU HII KAMA VILE:
✅ Duka
✅ Saloon
✅ Mgahawa
✅ Ofisi
✅ Huduma za kifedha (M-Pesa / Tigo Pesa)
✅ Pharmacy
✅ Na biashara nyingine yoyote halali
📞 Kwa maelezo zaidi piga simu:
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347














