Frame inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -3
Sh. 300,000 per month

Aina

Nafasi ya Biashara

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami

Maelezo

πŸ”₯ FREM INAPANGISHWA – SINZA πŸ”₯

Unatafuta sehemu bora ya biashara au ofisi? Hii hapa ni chaguo sahihi kabisa!

πŸ“ Eneo: Sinza
πŸ’° Bei: 300,000/= kwa mwezi
✨ Frem nzuri sana yenye muonekano wa kuvutia
πŸš— Inatazama lami – rahisi kuonekana na kuvutia wateja
πŸ’Ό Inafaa kwa biashara ya aina yoyote, hata kwa ofisi (wazee wa ofisi hapa ndipo penyewe πŸ˜‰)
πŸ“ˆ Eneo zuri lenye mzunguko wa watu

πŸ”Œ Service Charge: 30,000/=

πŸ“ž Call: 0787093748

Wahi sasa kabla haijachukuliwa! πŸš€