Tafuta

Shamba linauzwa Mikese, Morogoro (8 acre)

video thumbnail
Mikese, Morogoro
1 month ago
Sh. 15,000,000

Aina

Shamba

Farm for sale in Mikese

Ukubwa

8 ACRE

Barabara ya Karibu

4km

Huduma na Sifa

Maelezo

๐ŸŒฟ ๐—™๐—จ๐—ฅ๐—ฆ๐—” ๐—”๐——๐—œ๐— ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ช๐—˜๐—ž๐—˜๐—ญ๐—”๐—๐—œ โ€“ SHAMBA LINAUZWA MIKESE, MOROGORO ๐ŸŒฟ

Je, unatafuta shamba kubwa kwa kilimo cha kisasa, kilimo cha kibiashara, au ufugaji wa kisasa? Hii ni fursa ya kipekee kwako.

๐Ÿ“ ๐— ๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐—น๐—ถ: Mikese, jirani na Shule ya Sekondari, mkono wa kushoto ukitokea Morogoro kuelekea Dar es Salaam.

๐Ÿ“ ๐—จ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐—น๐—ถ: Kilomita 4 tu kutoka Mikese Center.
๐ŸŒพ ๐—จ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ: Hekari 8.

๐Ÿ’ฐ ๐—•๐—ฒ๐—ถ: ๐—ง๐˜€๐—ต Milioni 15 tu.

๐—ฆ๐—œ๐—™๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ฆ๐—›๐—”๐— ๐—•๐—”:

๐ŸŒฑ Udongo wenye rutuba ya asili unaofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula na biashara, ukiwa na uwezo wa kuzalisha kwa tija kubwa.

๐Ÿ’ง Maji yanapatikana karibu sana, hivyo kuchimba kisima ni rahisi kwa ajili ya umwagiliaji, matumizi ya mifugo na shughuli nyingine za shambani.

๐Ÿ„ Eneo ni pana na linafaa kwa ufugaji wa kisasa wa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku na mifugo mingine.

๐Ÿšœ Miundombinu ya barabara ni mizuri, hivyo usafiri wa pembejeo, mazao na mifugo unafanyika kwa urahisi mwaka mzima.

๐Ÿ“ Shamba lipo katika eneo lenye mazingira mazuri na salama, linalofaa kwa uwekezaji wa muda mrefu katika kilimo, ufugaji au miradi mingine ya maendeleo.

๐Ÿ’ผ Ni fursa bora kwa wakulima wakubwa, wafugaji, kampuni za kilimo, vikundi vya ushirika na wawekezaji wanaotafuta ardhi yenye thamani kwa gharama nafuu.

Usikose fursa hii ya kumiliki shamba lenye thamani kubwa kwa bei nafuu.

๐Ÿ“ž ๐—ช๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ถ sasa: 0678-517 158 /0785-517 158

๐——๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐— ๐˜€๐—ต๐—ถ๐˜‚ โ€“ Tunakuunganisha na fursa bora za ardhi, mashamba na nyumba ndani na nje ya Morogoro.

Matangazo mengine Mikese, Morogoro