Shamba linauzwa Morogoro (25 acre)

video thumbnail
Morogoro, Morogoro
9 hours ago
Sh. 1,200,000 per acre

Aina

Shamba

Ukubwa

25 ACRE

Huduma na Sifa

Bustani
Feni
Banana_plants
Timber_trees
Security_house

Maelezo

EKARI 25,SHAMBA/MAZAO INAUZA BANK,TSHS.30 MILIONI,MOROGORO.

Shamba zuri,
Ardhi yenye Rutuba na
Panafikika vizuri misimu yote.

Eneo ni jirani na MZINGA-JKT.
Kilomia 7 kutoka SUA.
Na-ni Kilomita 19 nje ya Mji wa Morogoro.

Shamba hili lina Mazao ya
Migomba pamoja na
Miti ya Mbao aina ya Mitiki.

Pia kuna Nyumba ya Mlinzi.

Ushauri wa Bure;
NJOO UKIWA na PESA MKONONI,
Au tena na Cheki yako isiwe Mbali.
HAPA UKIJISHAURI SANA UTAPAKOSA.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.100,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mpg