Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏪 FREMU INAPANGISHWA – SINZA
📍 Eneo la Sinza
💰 Kodi: Tsh 300,000 kwa mwezi
✅ Inafaa kwa biashara mbalimbali kama duka, saluni, ofisi, wakala, stationery na nyingine nyingi.
✅ Eneo zuri lenye wateja na biashara zinazochangamka.
📌 Service Charge: Tsh 30,000
📞 Wasiliana: 0678 512 666















