Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Maelezo
🔥 FREM INAPANGISHWA SINZA – TSH 150,000/= 🔥
Unatafuta frem kwa bei nafuu katika eneo zuri la biashara? Hii hapa fursa yako!
✅ Frem kubwa na yenye nafasi ya kutosha
✅ Ipo mtaa mzuri na unaofikika kirahisi
✅ Inafaa kwa biashara yoyote
✅ Mazingira mazuri kwa ukuaji wa biashara yako
💰 Kodi: TSH 150,000/= kwa mwezi
🧾 Service Charge: TSH 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Wahi kuwasiliana nasi kwa maelezo zaidi na ukaguzi wa eneo.















