Duka linapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π¨ BEI IMESHUKA! FREMU INAPANGISHWA β SINZA π¨
Ilikuwa TSh 400,000 β
π₯ Sasa ni TSh 350,000 tu kwa mwezi! π₯
π Eneo zuri la biashara lenye muonekano mzuri na wateja wa kutosha.
β
Inafaa kwa:
πββοΈ Salon
π Boutique
π Cosmetics
π Pharmacy
π’ Office
ποΈ Biashara nyingine yoyote
π
Malipo: Miezi 6
π΅ Service Charge: TSh 30,000
β οΈ Usikose nafasi hii! Ofa ni ya muda mfupi. Wahi kuwasiliana nasi kabla fremu haijapangishwa.















