Duka linapangishwa Sinza Mugabe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π’ Fremu Inapangishwa β Sinza Mugabe
β
Bei: Tsh 250,000 kwa mwezi
β
Eneo zuri la biashara
β
Inatazama barabara
β
Inafaa kwa duka, saluni, ofisi, wakala, stationery na biashara nyingine mbalimbali
β
Mazingira salama na yenye wateja wengi
π Sinza Mugabe, Dar es Salaam. Eneo hili ni sehemu ya kata ya Sinza iliyopo Ubungo.
Wahi sasa, nafasi ni chache! ππͺ















