Villa ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kidete Beach, Dar Es Salaam (1500 sqm)

Aina
Villa
Vyumba
4
Bafu
4
Ukubwa
1500 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Maelezo
🌊🏡 BEACH HOUSE YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI KIDETE BEACH 🔥
📍 Eneo lipo Kigamboni Ng’ombe/Makidete – Kidete Beach, Dar es Salaam.
Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri sana ya kifahari na utulivu wa hali ya juu karibu na bahari. 🌴✨
✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 4 vikubwa vya kulala – vyote master
🛋️ Sebule kubwa ya kisasa
🍽️ Dining
🍳 Jiko la ndani
🍲 Jiko la nje
🏠 Servant quarter
🚻 Public toilet ya ndani na ya nje
🏊♂️ Ina swimming pool
🌳 Garden kubwa na nzuri
🚘 Gate motor
📹 CCTV Camera
⚡ Electric fence
🧱 Paving block compound yote
📏 Ukubwa wa kiwanja: Sqm 1,500
📄 Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
📍 Umbali muhimu:
🛣️ Mita 400 kutoka barabara ya lami
🌊 Mita 500 kutoka Bahari ya Hindi
⛴️ Kilomita 9 kutoka Ferry
🌉 Kilomita 8 kutoka Darajani
✨ Interior imekamilishwa kisasa:
🪟 Aluminium windows
🧱 Tiles za kisasa
🎨 Gypsum nzuri sana
✅ Nyumba inafaa kwa:
🏡 Makazi ya kifamilia
🏨 Airbnb
🛏️ Full Furnished Apartment
💼 Uwekezaji wa kisasa wa beach property
💰 Bei: Milioni 680 tu
🤝 Mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious
📞 Call/WhatsApp: O719969102
.






