Viwanja vinauzwa Buyuni, Dar Es Salaam (757 sqm)

Buyuni, Ilala, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 10,000 per sqm
Aina
Kiwanja
Ukubwa
757 SQM
Huduma na Sifa
Ardhi Iliyopimwa
Maelezo
🚨 FURSA YA MWISHO BUYUNI 🚨
Viwanja vinavyoleta faida halisi ya uwekezaji vimebaki VIWILI TU! 🔥
Huu si muda wa kusubiri… ni muda wa kuchukua hatua. Buyuni inaendelea kukua kwa kasi kubwa miundombinu inaboreshwa, watu wanajenga, na thamani ya ardhi inapanda kila siku 📈
👉 Hivi viwanja vilivyobaki vinafaa sana kwa:
✔️ Uwekezaji wa muda mfupi na mrefu
✔️ Kujenga nyumba au miradi ya biashara
✔️ Kuhifadhi thamani ya pesa yako
Viwanja Vilivyopo sokoni
✅sqm 757 Tsh 7,570,000✅available
✅ sqm 711 Tsh 7,110,000✅available
Usikubali kusimuliwa “zilikuwepo”… chukua hatua sasa kabla HAVIJAISHA kabisa!
📞 Wasiliana nasi sasa: 0761444564
Wahi leo, kesho inaweza kuwa historia.
