Viwanja vinauzwa Mwasonga, Dar Es Salaam sqm 400




Ukubwa
400 SQM
Barabara ya Karibu
1.5km
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
🌴NJOO TUMALIZE VILIVYOBAKI , MRADI WETU PENDWA WA MWASONGA MKAMBA UMEBAK NA VIWANJA VICHACHE MNOOOOOOOOOOOO🥹🥲🥲
EPUKA SOLD OUT😋👌 , MRADI NDO UNAZIDI KUPENDEZA🙌🙌💯 🔥 , LIPA KIDOGO KIDOGO
📌MRADI HUU WA VIWANJA VILIVYOPIMWA UPO KIGAMBONI MWASONGA ,( mji mpya )
Umbali
-km 25 kutoka kigamboni darajani
-km 26 kutoka kigamboni ferry
-km 1.5 kutoka barabara kuu ya mwasonga ( lami mpya )
BEI
SQM 1 = 18,000/Tshs kwa malipo ya cash
SQM 1 = 22,000/Tshs Kwa malipo ya installment ( yan kidogo kidogo)
😋KWA MALIPO YA KIDOGO KIDOGO ANZA NA MILLION MOJA TU KWA KIWANJA CHOCHOTE NA UKUBWA WOWOTE , KIASI KINACHOBAK UTAKILIPA KIDOGO KIDOGO MPAKA 2027🙌🙌🙏
UKUBWA WA VIWANJA
SQM 400 - 1,800
- Viwanja vimepimwa kwa standard bora ya serikali , Vimezungukwa na barabara kubwa za mitaa za mita 20 - 10 kwa mujibu wa TARURA
📍Tunapatikana Kigamboni MAWENI - KISOTA ( AB plaza floor ya kwanza ) opposite na sekondari ya kisota & abduljumbe
📞 0654319483 ( Tupgie simu au tuma ujumbe whatsapp ili uweze kutumiwa raman ya mradi huu















