Viwanja vinauzwa Mwasonga, Mkamba Kigamboni, Dar Es Salaam




Barabara ya Karibu
400m
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
✳️Wengi wamesubiri kwa hamu mradi wa viwanja mwasonga , mwasonga ni mji unaoendelea kwa kasi kigamboni, barabara nzuri sikuhizi rami mpaka stand na vituo vyote,
✳️Sisi MALENGO PROPERTY LTD Mara ya mwisho ni mwezi wa 11 mwaka jana kuwa na mradi mwasonga hiii na hatimae tumerudi tena baada ya kukamilisha hatua za upimaji wa viwanja vyetu na mteja ukija hapa hati ni uhakika na haraka kama kawaida yetu🙏
🏣🏢Site ni nzuri , bei nafuu , eneo tambalalee ni salama kwa makazi mana huduma muhimu zote zipo karibu na linafaa kwa uwekezaji wowote kwa 100%
NB; wahi ujichagulie mapande yako , epuka sold out , ujanja ni kuwekeza kwenye ardhi sikuhizi😁😁😁
MILIKI KIWANJA NILICHOPIMWA & HATI KWA KULIPA CASH AU KIDOGOKIDOGO MPAKA MIEZI 12 🕰️
ukinunua hapa kwetu
✅unanunua leo , unajenga kesho bila stress
✅VIWANJA KIMEPIMWA RASMI
✅na tunakukabidhi HATI YA WIZARA
✅KIWANJA NI HATI👌
💸💰BEI KWA SQM NI
18,000/= CASH NA 22,000/= KWA MALIPO YA AWAMU ( UNALIPA KIDOGOKIDOGO) MPAKA MWAKA NA VIWANJA VINA UKUBWA TOFAUTI TOFAUTI
❇️Mradi upo katikati ya makazi ya watu , majilani wapo wengi tayari
HUDUMA ZOTE MUHIMU ZIPO
💡 UMEME
🚰 MAJI
🛣️ BARABARA NZURI SANA
-
MRADI UPO
📍 MWASONGA , MKAMBA KIGAMBONI
🛣️MRADI UNAGUSA BARABARA YA TARURA
🚗KM 25 KUTOKA FERRY AU DARAJANI
🏨 MITA 400 TOKA ZAHANATI ILIPO NA SHULE
🚗🚕siku za KWENDA SITE ni kila siku na muda wowote utakapofika ofisini kwetu 🤝
WASILIANA NASI LEO
MAONI NA USHAURI MAMBO YOTE YA ARHI TUONE SISI
@malengo_property_ltd
🏡Let us guide you home!
📞 0654319483 / 0754047231
Ofisi zetu zipo 📍 AB plaza floor no 1 , Maweni - Kisota , kigamboni opposite kisota & aboud jumbe secondary school
📧info@malengoproperty.co.tz
🌐www.malengoproperty.co.tz















