Viwanja vinauzwa Tabata Sanane, Dar Es Salaam (4000 sqm)

Aina
Kiwanja
Ukubwa
4000 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
VIWANJA VINAPATIKANA TABATA SANANE š” Viwanja vinauzwa eneo la Tabata Sanane, vina ukubwa wa jumla wa sqm 4000 na vinakatwa kulingana na mahitaji ya mteja kuanzia sqm 400 na kuendelea. š Bei: TSH 95,000/= kwa sqm š Unachagua ukubwa unaokufaa (sqm 400) ā Viwanja vimepimwa rasmi ā Hati itatolewa kwa jina lako mwenyewe ā Mazingira mazuri kwa makazi au uwekezaji ā Eneo linafikika kwa urahisi š¼ Service charge: TSH 30,000 Karibu sana mteja, chukua hatua leo ujipatie kiwanja chako Tabata Sanane. š Piga/WhatsApp: +255 688 412 890















