Farms for sale at Fukayosi, Pwani


MILIKI SHAMBA KWA BEI NAFUU FUKAYOSI BAGAMOYO
▶️Mashamba yenye ukubwa Kuanzia hekari moja (SQM 4046) na kuendelea
▶️Bei Kwa hekari moja ni Million 1.5 tu Kwa cash
▶️ Mashamba yapo umbali wa Kilometers 6 tu kutoka Barabara kuu inayoenda Msata
▶️Lipia kidogo kidogo mpaka unamaliza malipo yako
▶️ Mashamba yapo eneo zuri lenye udongo unaokubali mazao mbali ya kilimo Cha chakula na Biashara
▶️Ofisi zetu zipo nyuma ya Ubungo plaza, Katambe Street opposite na Kanisa la Anglikana
▶️Tuna miradi mingine ya viwanja maeneo ya Vigwaza Kwala, Kerege Bagamoyo, Mbutu Kigamboni, Bunju, Madale Mivumoni, Misugusugu Kibaha,Mwembe Mdogo Kigamboni
▶️Call/SMS/Whatsapp: 0686 601716