Plots for sale at Kibaha, Pwani


Viwanja Vilivyopimwa Vinauzwa Kibaha Misugusugu karibu Sana na Barabara kubwa ya Lami,Yani mita 900 toka lami Yani Kwa ujumla ni Km2.5 Toka Morogoro Morogoro Road.
Viwanja hivi tunaviuza Bei rafiki Sana,Yani shilingi 8500/= Kwa mita za Mraba! Ukubwa wa Viwanja ni Kuanzia 400m² hadi 1016m²
Utaratibu wa Malipo ni rahisi sana! Yani unalipa shilingi 1,000,000/= malipo ya Awali Kisha kiasi kinachobaki Kinalipwa kidogo kidogo ndani ya Mwaka Mmoja yaani Miezi Kumi na Mbili.
Kila Mwezi shilingi 200,000/=
Kuja kuona na kukagua site ni kila siku Kuanzia Jumatatu hadi Jumapili! Muda Kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 12 Jioni.
Viwanja vyote ni tambarare hakuna kabisa kilima wa bonde,ni mkeka kamili kamili ndugu mteja wetu mpendwa. Ukinunua Kiwanja kwetu ni Uhakika,Yani ni amani ya kutosha,hakuna majuto ni Raha Tu! Wote mnakaribishwa! Yani kwetu ni Furaha tele,sio makasiriko. Huduma kama umeme na maji vipo site Kwa Majirani.
Ofisini: Kibaha Madafu,Kiluvya Madukani na Mbezi Kwa Msuguri.
Mawasiliano
0659 972 868
0763 172 814