Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍kimara korogwe kilungule
🕑Umbali kutoka stand ya mwendo km 1 usafili bajaji 500 ukishuka dakika 5 boda boda 1000 Tu mpaka getini
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master kikubwa
🔹Sebule kubwa
🔹Hakuna jiko ❌
🔹Umeme luku submiter
🔹Maji yanafrow ndani
🔹Fenced & Parking Car kubwa
👉Nzuri Sana inapangishwa
🔶Kodi Tsh 150,000/=×(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali roony Tsh 150, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu
O627977383
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊