Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


Nyumba inauzwa ipo mbagala chamazi bei milioni 19 maongezi kdogo yapo. Nyumba ina rooms 2 vyakulala, sitting room, room moja ni master bedroom na public toilet ipo pia, umeme upo unawaka na pamoja na maji pia yapo. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.