Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


🗯️Stand Alone Kubwa Sana ( Nyumba Inayojitegemea kwenye Fensi)
📍 KIMARA MWISHO
📍 400,000/= *6
_________
___
#Umbali wa Dakika 12 tu kwa Miguu
• Vyumba 3 vya kulala (Kimojawapo ni Master Kubwa)
• Sebule Kubwa
• Dinning
• Jiko
• Public Toilet Ndani.
* Inajitegemea Kwenye Fensi
* Maji yanatoka ndani
* Parking
• Mazingira TULIVU Na Mazuri
______
📌 *MUHIMU*
#Kupelekwa kuona nyumba Tsh 15,000
#Malipo ya Dalali ni Tsh 400,000/=
______
0753-172-516