Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam


NYUMBA YAKUMALIZIA UJENZI, TSHS.20 MILIONI,MSONGOLA STAND/KIVULE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 370.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Ina vyumba 3 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
+255 714 591 548
_____________mskv