Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam







GHOLOFA YAKUMALIZIA INAUZWA NA BANK,40 MILIONI, MBAGALA CHAMAZI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hili Pagale lipo umbali wa wastani wa mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami.
Vyumba 4 vya kulala ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.