Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


APARTMENTS 4 zinauzwa Milioni 49 maongezi yapo📍Zipo MBEZI MWISHO MAKABE CENTAR* Dar es salaam - Tanzania
➡️Apartment mbili ni Sebule na Chumba master
➡️Apartment 2 ni chumba chumba kila Mpangaji analipa kodi Elf 50 kwa kila chumba
➡️Makusanyo ya kodi kwa mwezi kwa wapangaji wote ni laki (200,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (2400,000)
➡️Apartments zote 4 zimejaa wapangaji
➡️Plot size Sqmt 600
➡️Document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*➡️Bei shilingi milioni 49 maongezi yapo*
#0710614924
#0688653940