Nyumba/Apartment inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam
*APARTMENTS 6 zinauzwa Milioni 33 maongezi yapo📍Zipo MBEZI MWISHO MAKABE MSAKUZI* Dar es salaam - Tanzania
◇Apartment mbili ni Sebule na Chumba master kodi ni laki 100,000 kwa kila moja.
◇Apartment 4 ni chumba chumba kila Mpangaji analipa kodi Elf 50 kwa kila chumba
◇Makusanyo ya kodi kwa mwezi kwa wapangaji wote ni laki (400,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (480,000)
◇Apartments zote 6 zimejaa wapangaji
◇Plot size Sqmt 200
◇Document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*Bei shilingi milioni 33 maongezi yapo*
0746 433 854