Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


Njoo uone live boss wangu nyumba ime nyooka sana Ina uzwa bei nzuri sana tsh million 115 tu
Ipo mbagala chamaz dovya jiji la dar es Salam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya
Hii nyumba kubwa ina vyumba vinne vya kulala vyumba vyote ni masters bedroom ina sitting room na dining room inajiko na store ina kisima chamaji na umeme upo wa luku
Eneo square mitar 600
Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nicheki whatspp 0759 203175 0759 203175 0652618143