Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Msongola, Dar Es Salaam


NYUMBA YA VYUMBA 4, TSHS.30 MILIONI, MSONGOLA.
Hapa ni katikati ya MSONGOLA NA KIVULE.
Daladala unapanda moja tu kufika Mjini.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ina vyumba 4 vya kulala ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.