Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Temeke, Dar Es Salaam


Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nicheki WhatsApp
Nyumba nzuri sana ina uzwa tsh mil 118 tu
Ipo mbagara chamaz kwa mkongo jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa dovya
Vyumba vipo 4 vya kulala vyumba vyote ni masters bedroom ina stting room na dainingi room Ina jiko na store Ina public toilet π»
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 0759 203175 0652 618 143 Chalamajumba@gmail.com π