Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Temeke, Dar Es Salaam







NYUMBA NZURI SANA INA UZWA TSH MIL 37 TU
IPO MBAGARA CHAMAZ SAKU ILULU JIJI LA DAR ES SALAM WILAYA YA TEMEKE
INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA NI MASTER BDROOM INA SITTING ROOM INA DAINING ROOM NA JIKO PAMOJA NA PUBLIC TOILET
ENEO SQUARE MITER 280
INA DOCUMENTS ZOTE ALALI ZA OFFICE YA π¬ SERIKALI YA MTAA
NYUMBA IPO JILANI KABISA NA BARA BARA KUU YA LAMI
KWA MAELEKEZO ZAIDI NIPIGIE CM AU NICHEKI WHATSAPP 0759 203175. 0652 618 143