Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA VYUMBA 3, TSHS.68 MILIONI, MBAGALA SAKU/MZAMBARAUNI.
Hii ni nyumba nzuri YAKUHAMIA.
Ni mpya na haijawahi kukaliwa.
Vyumba 3 (Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Parking Safi yenye Paving,
Dirisha za Vioo,
Tiles chini, Ceiling ya Gypsum.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 460.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
______
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_________