Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA NA BANK, VYUMBA 3, TSHS.55 MILIONI, MBAGALA KUU.
Ipo jirani na Barabara ya Lami.
Kituo cha Barabara kubwa ni MBAGALA MISHENI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vtyumba 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_______________jj