Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA KALI, VYUMBA 3,TSHS.45 MILIONI, MSONGOLA/KIVULE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv