Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Msongola, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.25 MILIONI, MSONGOLA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa ni Daladala moja tu kufika Mjini.
Vyumba vya kulala 3 ( Masta 1) Pia kuna Sebule,
Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Vile vile kuna Fremu za Duka 2.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.