Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 18,000,000
Installment Allowed
Yes
Project
Yes

1.KWANI KISARAWE 2 (TWO) NI WAPI …..?

Kisarawe 2 ni kigamboni kituo kinachofuata baada ya kibada wengine wanapaita kigogo ni Km 7 kutokea kibada stendi njia ya kwenda mwasonga au dar es salaam zoo hii barabara ambayo ipo kwenye hatua za mwisho kabisa za kumwaga lami hivyo ni kimbilio la wateja wengi kwasasa kabla bei hazijapanda

2. KWANINI KISARAWE 2 NA SIO SEHEMU NYINGINE …?

Kwasababu ni karibu sana na ferry/ darajani na panafikika kirahisi , KISARAWE 2 ni umbali ya dakika 35 kutoka site hadi kufika ferry / darajani na hakuna foleni panafikika kirahisi ni Km 14 kutoka darajani/ ferry

3. BEI ZAKE ZIPOJE …?

Bei za kisarawe 2 ni shilingi elfu therathininkwa mita moja ya mraba (SQM 1 = 30,000) hivyo ukubwa wa kiwanja unaoutaka unazidisha mara mita moja ya mraba
Mfano ; SQM 600 (mita 30 kwa 20) unazidisha mara 30,000Tsh = 18M

4; UMILIKI WAKE UPOJE ….?

Viwanja vipo vinne vya swm 600, SQM 800, SQM 1200, SQM 2650, VYOTE VINA HATI KAMILI KITOKA WIZARA YA ARDHI.

5. MALIPO YAKE YAPOJE …?

Unaweza kulipa Cash (kwa mkupuo) au kwa awamu lakini utapewa mwezi mmoja wa kumalizia malipo.

6. SIKU YA KWENDA SITE NI LINI ..? NA OFISI ZENU ZIKO WAPI…?

Ofisi zetu zipo kigamboni kibada karibu na KIBADA GARDEN na kila siku tunaenda site.

7.MAWASILIANO
☎️0767894547
☎️0629894547

Dalali mfupi
dalali_kigamboni_mfupi
Dalali mfupi

Similar items by location

Nyumba inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 50,000,000

HOUSE FOR SALE KIGAMBONI MJIMWEMA KIBUGUMO __DK 1 KUTOKA LAMI __VYUMBA V2 VYAKULALA KIMOJA MASTER SE...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 8,532,000

📍Kiwanja kinapatikana Kigamboni Buyuni- Ukubwa wa Kiwanja sqm 711- ⁠Bei 8,532,000/=- ⁠Malipo ya mie...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 450,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location darajani <> nyumba Ina vyumba viwili kimoja master sebule...

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 230,000,000

NYUMBA ZINAUZWA KIGAMBONI <> location kibada <> nyumba Ina vyumba vitatu vyote master sebule dining ...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI<> location kisota <> nyumba Ina chumba kimoja master na jiko full ac ...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 400,000,000

HOUSE FOR SALE 🔹nyumba kubwa ya vyumba vinne vya kulala🔹nyumba ya vyumba viwili vya kulala🔹nyumba...

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 400,000,000

NYUMBA ZINAUZWA KIGAMBONI <> location kisota <> nyumba ziko tatu Kwenye fensi moja na moja kati ya h...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • By Installment
  • Project

Sh. 5,200,000

CHIMBO LA BEI CHEEKaribuni Viwanja VILIVYOPIMWA. (SURVEYED PLOTS)📍location :👉 #KIGAMBONI , #MWASON...

Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 700,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location geza ulole <> nyumba ina vyumba vitatu kimoja Master sebu...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 28,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLEBEI;MILION 28UKUBWA;SQM 800CALL 0742121038

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 4,000,000

CHIMBO LA BEI CHEEKaribuni Viwanja VILIVYOPIMWA. (SURVEYED PLOTS)📍location :👉 #KIGAMBONI , #MWASON...

Viwanja vinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam
  • By Installment
  • Project

Sh. 20,000

MILIKI ARDHI LEO NA KAMPUNI PENDWA PERFECT PROPERTY LTD.OFA ZETU BADO ZINAENDELEAMiradi yetu ya vi...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000,000

Eneo Linauzwa Lipo; KIGAMBONI KIMBIJIUkubwa Hekari 17Documents safi Bei 20M kwa hekari moja Call; 07...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 18,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE MWONGOZOBEI;MILION 18UKUBWA;SQM 400CALL 0742121038

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 35,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE BAMBA BEACHBEI;MILION 35UKUBWA;SQM 800CALL 0742121038

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 20,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location darajani <> nyumba Ina chumba kimoja sebule na chooo ✅nyu...

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 18,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI GEZAULOLE MWONGOZOBEI:MILION 18UKUBWA;SQM 400CALL 0742121038

Kiwanja kinauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 25,000,000

KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI MJI MWEMA UNGINDONIBEI:MILION 25UKUBWA;SQM 400KUTOKA FERRY KM 9CALL 07421...

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 450,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI location kisiwani <> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jiko ...

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI <> location kibada <> nyumba ina vyumba viwili kimoja Master sebule n...