Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam









Huduma na Sifa
Maelezo
Apartment hii inapangishwa bei 270000 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 6, Located tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam
Sifa ya apartment hii ni chumba master, sebule na jiko, umeme na maji unajitegemea, parking, peving block, reserve water tank & pia apartment hii ipo ndani ya fence
Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Servive survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali ulipapo apartment hii















