Tafuta

Apartment ya chumba kimoja inauzwa Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam (350 sqm)

video thumbnail
Sh. 65,000,000

Maelezo

๐Ÿ˜๏ธ APARTMENTS ZINAUZWA โ€“ KINYEREZI KIBAGA

๐Ÿ’ฅ Fursa Adimu ya Uwekezaji!

๐Ÿ“ Eneo: Kinyerezi Kibaga
๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 65tu
๐Ÿ“ Ukubwa wa Kiwanja: SQM 350

Sifa za Nyumba:

โœ… Apartments 3
โœ… Kila nyumba ina Master, Sebule na Jiko
โœ… Zipo ndani ya fensi
โœ… Gari linafika hadi kwenye nyumba
โœ… Maji na umeme vinapatikana
โœ… Zote tayari zimepangishwa

๐Ÿ’ต Mapato ya sasa: Kila nyumba inapangishwa TSh 250,000 kwa mwezi.

๐Ÿ“ˆ Fursa ya kuongeza mapato: Kadri maendeleo ya eneo la Kinyerezi Kibaga yanavyoendelea, kodi inaweza kufikia TSh 300,000โ€“350,000 kwa kila nyumba kulingana na maboresho na hali ya soko.

๐Ÿ”ฅ Nunua leo, anza kupata mapato ya kodi mara moja huku thamani ya mali yako ikiendelea kuongezeka.

๐Ÿ“ž Service Charge: 30,000/=
๐Ÿ“ž Wasiliana: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!