Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Kimara, Dar Es Salaam
3 hours ago
Sh. 200,000/month
Maelezo
#Repost dalali_dizzo_ubungo25_
nyumba inafaulishwa miezi 3
ipo kimara korogwe barabara ya zege
Master jiko full Ac
inajitegemea umeme na maji yanaflow ndani
ipo ndani ya fensi Mazingira mazuri sana
kodi 200,000 KWA MWEZI
survey charge 30,000 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
ukipenda nyumba utalipa mwezi mmoja kwa dalali pindi unapolipia nyumba
O673189014 call/whatsapp















