Tafuta

Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 500,000/month

Maelezo

🏡 NYUMBA NZURI INAPANGISHWA – KIGAMBONI GEZA ULOLE, DAR ES SALAAM

✨ Nyumba kali sana yenye muonekano wa kisasa na ubora wa hali ya juu

🔹 Sifa za Nyumba:
• Vyumba 2 vya kulala 🛏️
• Sebule kubwa na ya kisasa 🛋️
• Dining area 🍽️
• Jiko zuri lenye makabati ya kisasa 🍳
• Vyumba vikubwa na vyenye mwanga wa kutosha 🌞

🔹 Ubora wa Nyumba:
• Aluminium windows & doors
• Tiles za kisasa
• Gypsum nzuri ndani

🔹 Huduma & Mazingira:
• Umeme wa kujitegemea ⚡
• Ndani ya fence
• Parking kubwa ya kutosha 🚗
• Ulinzi wa uhakika 🛡️
• Mtaa salama na wenye ulinzi

💰 Kodi: TZS 500,000 kwa mwezi
📅 Malipo: Miezi 6 mbele

💵 Service Charge: TZS 30,000 (Site Visit)

📞 Call/WhatsApp: +255 746 407 197

#dalali #dalalikigamboni #gezaulole #kigamboni #dar es salaam nyumbainapangishwa houseforrent realestate tzrealestate chatgpthousesforrent googlebesthouseforrent

Matangazo yanayofanana Kigamboni, Dar Es Salaam

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Sh. 170,000/month

  • Maji

  • Karibu na Barabara ya Lami

  • Jiko

Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Sh. 170,000/month

  • Maji

  • Karibu na Barabara ya Lami

  • Jiko