Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kinyerezi Zabikah, Dar Es Salaam
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA MPYA YA KUPANGISHA β KINYEREZI ZABIKAH π‘
π Location: Kinyerezi Zabikah
π£οΈ Ipo ndani ya fence, umbali wa km 1 tu kutoka barabara ya lami.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 3 (kimoja Master)
β
Sebule
β
Dining
β
Jiko (utamaliziwa baada ya kulipia)
β
Choo cha Public
β
Parking ya kutosha
β
Nafasi ya Garden au matumizi mengine ya nje
π Nyumba ni mpya kabisa, ipo kwenye mazingira mazuri na salama, yanayofaa kwa familia.
π° Kodi: TSh 400,000/= kwa mwezi
π
Malipo: Miezi 6 mbele
πΌ Udalali: 400,000/=
π΅ Service Charge: TSh 30,000/=
π Piga Simu/WhatsApp:
Karibu ujionee na upange nyumba hii mpya kabla haijachukuliwa!















