Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mkonze Zahanati, Dodoma
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA NZURI INAPANGISHWA β MKONZE, DODOMA π‘
Unatafuta nyumba ya kuishi yenye mazingira mazuri na iliyo karibu na barabara ya lami? Hii ndiyo nafasi yako!
π Mahali: Mkonze Zahanati, Dodoma
β¨ Muundo wa Nyumba
β
Vyumba 3 vya kulala
β
Chumba 1 ni Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko zuri lenye makabati
π° Kodi: TSh 300,000/= kwa mwezi
π
Malipo: Miezi 4
Huduma Zinazopatikana
βοΈ Umeme upo
βοΈ Maji yanapatikana muda wote
βοΈ Jirani kabisa na barabara ya lami
βοΈ Mazingira salama na tulivu
π Mawasiliano
Karibuni Bupalu Real Estate β Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa bei sahihi.













